Description
Azizi na baba wanaona maajabu wanapotembelea duka la waganga. Mganga anafanya miujiza ambayo inabadili makaa kuwa mawe ya ajabu. Je, Azizi atatumia mbinu gani kupata mawe hayo?
KSh 250.00
Azizi na baba wanaona maajabu wanapotembelea duka la waganga. Mganga anafanya miujiza ambayo inabadili makaa kuwa mawe ya ajabu. Je, Azizi atatumia mbinu gani kupata mawe hayo?
Authors | Bernard Githinji |
---|---|
Language | Kiswahili |
Copyright | Storymoja |
Publisher | Storymoja |
ISBN | 9789966627445 |