Dafina ya Ushairi

KSh 250.00

Description

Dafina ya Ushairi ni diwani yenye kutoa mwanga ka_ka fani ya ushairi kwa shule za msingi. Huu ni mkusanyiko wa mashairi mepesi ambayo yametungwa kiufundi kwa kuangazia maudhui mapana tangia nidhamu, maadili, bidii, elimu, mazingira na masuala mengine ibuka.

Additional information

Authors Sirivano Ayubu
Publisher Queenex Publishers Ltd
ISBN 9789966140180