Dua ya Faraja

KSh 250.00

Description

Hii ni hadithi inayozungumzia jinsi kijana mmoja, Gambo, anavyojipata katika hali tatanishi. Baadaye, Gambo anafanikiwa kikwepa mitego yote ya kimaisha na hatimaye anatimiza ndoto yake. Isome hadithi hii ujue jinsi ya kufanya bidii ili kutimiza ndoto yako.

Additional information

Authors Sophy Onura
Language Kiswahili
Publisher Queenex Publishers Ltd
ISBN 9789966115119