Halua Tamu za Watoto

KSh 250.00

Description

Halua tamu za watoto ni mkusanyiko wa hadithi fupi za watoto. Hadithi hizi zimeandikwa kwa lengo la kuburudisha, kuelimisha na zaidi ya yote kuchekesha. Hadithi hizi pia zimeandikwa zikilenga mahitaji ya mtaala mpya wa elimu (umilisi). Ni hadithi ambazo huwezi acha kusoma. Utasoma tena na tena .

Additional information

Authors Lawrence Gakonya
Publisher Queenex Publishers Ltd
ISBN 9789966140166