Heko na Haki

KSh 250.00

Description

Hadithi hii inahusu Heko, Haki na marafiki zao, Sudi na Bidii. Watoto hawa wote lichaya kushiriki kwenye michezo yao kwa pamoja, wanatii wazazi wao na kila mtu, wanaheshimiana na wanakua kulingana na wakati wa umri wao. Nina imani kuwa kila mmoja atakapoisoma hadithi hii ataifurahia.

Additional information

Authors Tom Nyambeka
Language Kiswahili
Publisher Queenex Publishers Ltd
ISBN 9789966115010