Kiswahili Angaza Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 4

KSh 250.00

Description

Kiswahili Angaza, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 4 ni kitabu kilichoandikwa kwa upeo wa ubunifu na kuwambwa kwa makini. Kimetimiza kwa ukomo wa ukamilifu na kutosheleza mahitaji ya Mtaala wa Kiumilisi. Kitabu hiki pia kimeandikwa kwa mtindo unaomwegemea mwanafunzi zaidi na kinakuza umilisi uliopendekezwa na mtaala.

Additional information

Authors Mziwanda Banda, Shabaan Otieno
Language Swahili
Publisher East African Educational Publishers
ISBN 9789966567161