Kivuli cha Mauko

KSh 250.00

Description

Hadithi hii inazungumzia maisha halisi ya mwandishi katika utoto na ukuaji wake. Akiwa mdogo yeye ndugu zake ni wajeuri wasiopenda kuoga na wasumbufu walivyo watoto wengine wa umri mdogo katika jamii. Umaskini unawasakam mwandishi na familia yake. Baadaye mwandishi anafanikiwa kupata ajira. Soma hadithi hii upate utamu ulio ndani.

Additional information

Authors Tom Nyambeka
Publisher Queenex Publishers Ltd
ISBN ISBN 9789966075482