Laana ya Mkufu

KSh 250.00

Description

Mfalme Monamwezi hana muda mrefu wa kuishi. Anamrithisha ufalme mwanawe Kisangasanga. Mwanzoni, Kisangasanga anauendesha ufalme wa Watambele vyema hadi anapoenda kinyume cha maagizo ya baba yake. Ufalme unaanza kuporomoka. Mfalme Kisangasanga si mfalme wa wanadamu tena bali wa wanyama pangoni. Je, ataweza kurejea tena na kuendelea na uongozi? Laana ya Mkufu ni hadithi yenye ujumbe wa kipekee wa kumnasa msomaji yeyote anayeisoma.

Additional information

Authors David Maillu
Publisher Queenex Publishers Ltd
ISBN ISBN 9789966075505