Description
Manga ana hamu kuu ya kuwa mganga lakini ufalme wa Lirambo tayari una mganga mashuhuri mwenye wivu. Ni nani atakayemfundisha Manga siri za uganga? Je ndoto yake itawahi kutimia?
KSh 250.00
Manga ana hamu kuu ya kuwa mganga lakini ufalme wa Lirambo tayari una mganga mashuhuri mwenye wivu. Ni nani atakayemfundisha Manga siri za uganga? Je ndoto yake itawahi kutimia?
Authors | A.H Benjamin |
---|---|
Language | Kiswahili |
Copyright | Storymoja |
Publisher | Storymoja |
ISBN | 9789966626844 |