manga na mganga

KSh 250.00

Description

Manga ana hamu kuu ya kuwa mganga lakini ufalme wa Lirambo tayari una mganga mashuhuri mwenye wivu. Ni nani atakayemfundisha Manga siri za uganga? Je ndoto yake itawahi kutimia?

Additional information

Authors A.H Benjamin
Language Kiswahili
Publisher Storymoja
ISBN 9789966626844