Mkoba uliopotea

KSh 250.00

Description

Rono na Kerich wanaenda shuleni. Wakiwa njiani, wanaona mkoba wenye vitu ndani yake. Je, watachukua vitu hivi ama watapeleka mkoba huu kwa mwalimu?

Additional information

Authors Movine Nyanchoka
Language Swahili
Publisher Storymoja
ISBN 9789966627148