Ndege wa amani

KSh 250.00

Description

Wakazi wa vijiji vya Keru na Kairu wanaishi kwa amani hadi wanapokumbwa na kiangazi. Hatimaye, wanaanza kupigania maji ya Mto Kanyaboli. Ndege anawaimbia wimbo wa amani. Je, wanajeshi watautii ujumbe wa ndege?

Additional information

Authors Francis Ogallo
Language Swahili
Publisher Storymoja
ISBN 9789966627803