Nyani anapata funzo

KSh 250.00

Description

Nyani Mkubwa anataka kutambulika kama shujaa. Anawadhihaki wale anaokisia kwamba hawana guvu ama zake, hususan Ndovu na Panya. Wanyama wanapokumbwa na hatari, ni nani anayeitwa kuwaokoa? Je, ni nani anayedhihirisha ushujaa wa kweli?

Additional information

Authors Muthoni Muchemi
Language Swahili
Publisher Storymoja
ISBN 9789966626837