KSh 250.00
Walimu na wafanyakazi wotewana mkutano wa mwisho wa mwaka. Rehema kiranja mkuu anagundua kuwa wageni wanaofika shuleni si wageni wazuri. Wameingia maktabani na wanaendelea kuiba vitabu.Soma ujue kama Rehema atawezana na hawa wezi.