Samad Jangwani

KSh 250.00

Description

Samad anapenda kwenda nje. Ndoto yake ilikua kutumia siku yake yote jangwani na kuogelea katika chemchemi. Mfuate Samad anapoanza safari hii ambapo anapata marafiki wa ajabu na uvumbuzi wa kushangaza. Safari yake kwenda jangwani ni ya kusisimua sana.

Additional information

Authors Mohammed Umar
Language Kiswahili
Publisher Queenex Publishers Ltd
ISBN 9789966075697