Siri ya Baba Yangu Kitabu cha Pili

KSh 250.00

Description

Hadithi hii inazungumzia Fadhili ambaye amefanikiwa kuungana na baba yake mzazi. Ni mtu mwenye heshima na hadhi katika jamii, mtu anayesifiwa sifa zisizo za kawaida. Fadhili anatilia shaka sifa hizi na pindi wanaposafiri hadi pwani ndipo kiu ya kujua ukweli inapomzidia. Soma hadithi hii upate kujua siri ambayo Fadhili anaigundua kuhusu baba yake.

Additional information

Authors Yahya Mutuku
Language Kiswahili
Publisher Queenex Publishers Ltd
ISBN 9789966115003