Tausi na Majuto katika Kisa cha Gaidi Lii

KSh 250.00

Description

Lii ni gaidi sugu anayelihangaisha taifa. Anawatekanyara vijana na kuwafunza jinsi ya kuua na kufanya vitendo vya ugaidi. Serikali imejaribu kumkomesha lakini imeshindwa. Nani ataweza kumkomesha? Soma hadithi ujionee jinsi kijana mmoja wa mitaani anasaidia kumkomesha gaidi huyo sugu.

Additional information

Authors Karang'ae Chege
Publisher Queenex Publishers Ltd
ISBN ISBN 9789966075512