Zawadi ya Ajabu

KSh 250.00

Description

Baraka na Zawadi ni watoto walio na matamanio ya kuzuru maeneo mbalimbali ulimwenguni, kununua vitu vya thamani na kuwanunulia wazazi, marafiki na walimu wao tuzo za thamani. Wanaokota kitita cha pesa, je, watafanya nini? Hadithi hii inalenga kukuza maadili ya kusema ukweli na kuwa mwaminifu.

Additional information

Authors R. Zawadi
Language Kiswahili
Publisher Queenex Publishers Ltd
ISBN 9789966788900