Ziara ya Meno

KSh 250.00

Description

Ziara ya Meno ni hadithi ya pili katika msururu wa ‘Mazingira na Afya’. Kitabu hiki kinashughulikia usafi na afya ya meno. Lengo hili limetimizwa kupitia safari ya akina Baraka na Zawadi. Njia za kutunza na athari za kutotunza meno zimewekwa wazi kupitia majadiliano baina ya wahusika. Je, wahusika wananufaika mwisho wa kikao?

Additional information

Authors R. Zawadi
Language Swahili
Publisher Queenex Publishers Ltd
ISBN 9789966788849