Zuhura na Zahara

KSh 250.00

Description

Zuhura na Zahara ni pacha wanaofanana sana.Wamelelewa kwa heshima na taadhima na wazazi wao lakini tabia zao hazilingani. Chaka ni mgonjwa na hali yake ni mahututi.Ni lazima binti mmoja katika milki ya Tunu aipate dawa hiyonadimu ili mwana wa mfalme apone. Soma hadithi hii ili ujue atakaye pata dawa.

Additional information

Authors Yahya Mutuku
Language Kiswahili
Publisher Queenex Publishers Ltd
ISBN 9789966115041